Kinyume na vitabu vingine, mfululizo huu unatilia mkazo mbinu ya maingiliano katika ufunzaji wa lugha. Maingiliano baina ya stadi mbalimbali hususan;
- somo na somo; juma na juma;
- faslu na faslu;
- mwalimu na mwanafunzi ni muhimu.
- Aidha mfululizo huu unaangazia namna lugha ya kiswahili inavyohusiana na taaluma nyinginezo.
- Nyanja zote zinazoshughulikiwa humu zinalengwa kumpa mwanafunzi msukumo wa kujikuza katika lugha ya Kiswahili.
- Kiwango cha lugha walichokitumia waandishi kinaafiki kila kidato kilichoandikwa
.